Maombi ya kazi ya Mhariri Msaidizi (Junior Editor) 
Ndugu mwombaji,

Karibu Jamii Media. Tuna furahi kwamba una nia ya kuwa mhariri msaidizi wa kidijitali kwenye mradi wetu wa Digital Media Innovation Program. Nafasi unayoomba ni ya muda wote (Full Time), kituo cha kazi ni Dar es Salaam. Kazi hii iko wazi kwa wale tu wenye haki au vibali vya kufanya kazi Tanzania. 

Tafadhali fuata maelekezo na toa majibu kulingana na idadi ya maneno ilivyoainishwa. 

Kila la heri!
Jina Kamili *
Jinsia *
Tarehe ya kuzaliwa *
MM
/
DD
/
YYYY
Namba ya simu *
Barua Pepe *
Mkoa Ulipo *
Maswali yanayohusu nafasi hii
Kwanini unataka kazi hii kama Mhariri Msaidizi? (Sio chini ya meneno 250) *
Ni ujuzi, maarifa au uzoefu gani unaokufanya uwe unafaa zaidi kwa ajili ya nafasi hii? (Sio chini ya maneno 250) *
Historia na Uzoefu
Tafadhali tuambie kuhusu kazi yako ya mwisho /ya zamani. Je ulifanya uhariri na shirika au kampuni gani?Ulifanya kazi hapo muda gani? Je ulikuwa na Majukumu gani? (Mfano: Nilikuwa XXX katika kampuni ya YYY ambapo nilifanya kazi kwa kipindi ZZZ. Nilikuwa na jukumu la kusimamia X,Y,Z. Meneja wangu wa moja kwa moja/msimamizi wangu alikuwa mtu X, barua pepe (email) yake ni Y na namba yake ya simu ni Z) *
Kipi ni kiwango cha juu cha elimu ulichonacho?  *
Ulisoma nini? *
(Sio chini ya maneno 400) 1. Chagua sekta yoyote unayopenda mf Kilimo, Afya n.k  2. Fanya utafiti mfupi kuhusu sekta hiyo 3. Andika makala fupi kwa Kiswahili kwa kufuata muundo huu; (i)Ni nini kinaendelea (Tatizo)  (ii)Tulifikaje hapa (sababu au visababishi)  (iii)Ni nini tunaweza kufanya juu ya tatizo hilo? (Pendekeza ufumbuzi kutokana na wataalamu wa sekta hiyo) *
Tafadhali weka viungo (links) kwenye kazi zako nyingine ulizoshiriki. 
Submit
Clear form
Never submit passwords through Google Forms.
This form was created inside of Jamii Media. Report Abuse