ANGALIZO:
1. Walimu wote walioshiriki mafunzo ya elimu mtandao yalioandaliwa na taasisi ya Shaibu Foundation wameshasajiliwa moja kwa moja, hivyo hawatalazimika kujaza fomu hii.
2. Mafunzo haya yanatolewa BURE, hivyo hakuna malipo kwa washiriki. Mshiriki ajiandae na gharama za mtandao, nauli kwa wakaazi wa chake.
3. Mafunzo yatatolewa kwa njia ya mtandao, hivyo mshiriki atalazimika ku-download application ya "Microsoft Teams" na kufahamu jinsi ya kushiriki bofya hii link
https://fb.watch/adkM_hw78g/4. Kama utakuwa na maswali au unahitaji ufafanuzi zaidi, basi usisite kuwasiliana nasi kwa barua pepe ya
info@sfoundationtz.org5. Pia tutatoa maelekezo jinsi ya kuomba "scholarship" In Shaa Allah