Kama sehemu ya mradi wetu wa kujifunza na kueneza lugha ya Kiswahili, ningependa kuwaomba kushiriki misemo mbalimbali ya Kiswahili yenye hamasa.
Misemo hii itatuhimiza na kutupa motisha, lakini pia itatusaidia kuongeza ufahamu wetu wa lugha ya Kiswahili na umuhimu wake kitamaduni. Mchango wenu utathaminiwa sana.
Unaweza kuwasilisha zaidi ya msemo moja