Kuthibitisha Uanachama
Uthibitisho huu unahusu asasi shiriki, watu binafsi na wafuasi wa harakati.
Nimesoma na kukubaliana na kilichoanzisha harakati za Africans Rising; Tamko la Kilimanjaro.
Nimesoma na kukubaliana na Kanuni za Maadili za Africans Rising.
Mimi ndiye mwakilishi ninayerusiwa na asasi/shirika langu kusaini/kujiunga kwa niaba.
Nakubali kupokea vijarida na barua pepe kutoka Africans Rising.
Asasi/Shirika langu pia linakubali kuorodheshwa kwenye tovuti ya Africans Rising na machapisho mengine kama mwanachama wa harakati hizi.