Form hii ni ya Wenye Nchi Wananchi , kwa malengo ya kupokea taarifa au kushiriki harakati, au kupata uelewa kuhusu masuala mbalimbali nchini
Taarifa hizi ni za siri na zitatumika tu kwa masuala ya #WenyeNchiWananchi bila kushirikisha mtu yeyote, Tunafanya hivi kwa malengo ya kuunganisha nguvu na umoja wetu ili tusimamie nchi yetu na maliasili zake, lakini pia tupeane taarifa za mambo yanayojili na ikiwezekana kutoa fafanuzi na elimu kwa wananchi